Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wizara Ya Kilimo

TAASISI YA UTAFITI WA KILIMO TANZANIA

Watafiti wahimiza matumizi ya teknolojia kurutubisha udongo
Watafiti wa Udongo wametoa wito kwa wadau wa kilimo hususani wakulima kutumia teknolojia zilizofanyiwa Utafiti zinazolenga kuongeza tija katika sekta ya kilimo ili kusaidia urejeshaji wa rutuba katika udongo na hivyo kuogeza tija katika sekta ya kilimo.